Saturday, February 25, 2012

Unajifanya usilokuwa ?


Haukuwa na hatuokuwa

Ijapo nafasi ulishaipewa

Kiumbe jema hukujaliwa

Ila mabaya umeumbiwa

Shetani amekuchukuwa

Kama kifaa unatumiwa

Naye si rahisi ukajaliwa

Minyororoni ukajitowa

Yawa kama umelaniwa

Kwa pako pema kukimbiwa

Ukakimbilia kwenye mabaya!

Wajifanya usilokuwa

Nuksi hapo ndio zaanzia!


No comments: